Tafuta Matokeo Bidhaa au Huduma bora kwa ajili yako!

Rating
Distance
Radius around selected destination km
Nembo Ya Kampuni

Uswazi food

Uswazi Food ni sehemu ya huduma ya chakula inayopatikana Makumbusho, Dar es Salaam. Hutoa vyakula vya asili vinavyopikwa kwa ladha halisi ya nyumbani

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Isha Mashauzi-Tamtam Foodpoint

Mashauzi TamTam Foods Point ni mgahawa unaomilikiwa na msanii maarufu Isha Mashauzi, na unapatikana eneo la Shentemba - Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Ni mahali ambapo wateja hufurahia chakula bora cha kienyeji kinachoakisi ladha na tamaduni mbalim...

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Esha Buheti Food

Esha Buheti House of Food ni mgahawa unaopatikana Kijitonyama, Dar es Salaam, ambao huandaa na kutoa vyakula mbalimbali vya asili kama wali, nyama, kuku, ugali, chipsi, mchemsho na vinginevyo. Huduma zinazotolewa huzingatia utofauti wa ladha na mahit...

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Saluni inayotembea-J&R Mtita UniSex Saloon

Tunatoa huduma kwa saluni za kike na za kiume, tunapamba maharusi, tunakodisha mashera kwa bei nafuu. Karibu sana #Minyoosho Njoo Tukupendezeshe kunyoa Mtindo wowote ule wa Kisasa kwa nguvu ya buku mbili tu (Tsh 2,000/=) kuosha ni bureee ndani ya@of...

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Radium Salon Equipments-Saluni za Kike na Kiume

Radium Salon Equipments suluhisho lako Kwa ajili ya mahitaji yako ya saluni ya kike Na barbershop what’s app 0713 249099 Instagram:radiumsalonequipments. Saluni ya Nywele za Kike na Kiume. Swahili and matumbi A, Dar es Salaam, Tanzania 0713 249...

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Dolls Beauty Store and Saloon-Urembo

Dolls Beauty Store & Spa ni kampuni ya urembo inayojitolea kutoa suluhu za matatizo mbalimbali ya urembo katika maeneo kama vile ngozi, nywele, kucha n.k. Sisi ndio kampuni pekee inayotoa huduma za kutunza ngozi, kutunza nywele, kucha, vipodozi na SP...

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Watoto fashiontz -Nguo

Duka la Nguo za Watoto Tunafanya Delivery na kutuma mikoani. Makumbusho Stand karibia na Mesuma Hotel, utaona sura mpya duka lipo Barabarani limeandikwa watotofashiontz, Dar es Salaam, Tanzania 0718 402 048

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

The MALAIKA bridal collection

Kwa Mahitaji ya Nguo za Harusi na Sherehe kwa Ujumla wasiliana nasi kwa Namba 0788049233 & 0788654171 Tupo Arusha karibu na Tanapa.

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Finer Threads/Nyuzi nzuri zaidi-Sare

Kwa Mahitaji ya uniforms/Sare Mbalimbali zenye Ubora kwa Gharama nafuu wasiliana na sisi au fika Dukani kwetu mtaa wa mahiwa/Lumumba kariakoo 0pposite na Sleep inn Hotel Karibuni sana. 0787733994

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Suti Tanzania

Hii sio ya kukosa.......!!!!! Karibuni sana.Unaponunua suti zetu kuna huduma ya kufitisha kwa mafundi wetu makini.Na pia kuna ofa kabambe kwa wale wote watakaonunua suti zaidi ya moja.

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni

Sign In