Mudi Mabiriani
Kwa Mudi Biriani ni sehemu maarufu ya chakula iliyopo Sinza Mori, Dar es Salaam. Inajulikana kwa kutayarisha biriani ya kuku, nyama, au samaki, iliyopikwa kwa kutumia viungo vya asili.
Tovuti
https://www.instagram.com/mudi_mabiriani/?hl=en
Barua pepe
[email protected]
Simu
+255 656068333