Tafuta Matokeo Bidhaa au Huduma bora kwa ajili yako!

Rating
Distance
Radius around selected destination km
Nembo Ya Kampuni

Radio One

Radio One ni moja ya vituo vya redio vya kitaifa nchini Tanzania vilivyoanzishwa kwa lengo la kutoa habari, elimu na burudani kwa lugha ya Kiswahili. Kituo hiki ni sehemu ya Media Plus (T) Ltd, kampuni inayomiliki pia vituo vingine kama ITV Tanzania...

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

TBC

TBC ni chombo rasmi cha serikali kilichopo mstari wa mbele katika kuhabarisha, kuelimisha na kuburudisha jamii, kikiwa na historia ndefu ya kuwa sauti ya Taifa tangu enzi za RTD (Redio Tanzania Dar es Salaam).

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Clouds Fm

Clouds FM ni kituo cha redio kinachorusha matangazo yake kwa lugha ya Kiswahili, kinamilikiwa na Clouds Media Group na kilianzishwa mwaka 1998 na makao makuu yapo Dar es Salaam. Kinapatikana katika zaidi ya mikoa 20 Tanzania na pia hupatikana kupitia...

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Abood Bus Service

Abood Bus Service Limited ni kampuni ya usafiri wa abiria na mizigo yenye makao makuu Morogoro, Tanzania. Ilianzishwa mwaka 1986, na ni mojawapo ya makampuni makubwa zaidi ya kusafirisha watu barabarani nchini .

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Shabiby Bus Company

Ni Kampuni ya huduma za usafirishaji ambayo hutoa huduma zake kwa watu mbalimbali kuwasafirisha na kusafirisha mizigo kwenda mikoa mbalimbali ndani ya Tanzania

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Chakaby Luxury

Chakaby Luxury Bus Service ni kampuni ya usafirishaji wa watu na bidhaa inayotoa huduma za usafiri wa barabara kwa kutumia mabasi ya kisasa. Kampuni hii inatoa safari kati ya miji mbalimbali nchini Tanzania, ikiwemo Dar es Salaam, Dodoma, Singida, Sh...

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

KIDIA ONE EXPRESS

Kidia One Express ni kampuni inayosafirisha watu kwa njia ya basi na mizigo kwa njia ya maroli nchini Tanzania

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Basi- Bora App

Basi Bora App ni mfumo wa kidigitali unaolenga kurahisisha huduma za usafiri wa mabasi nchini Tanzania. Kupitia app hii wateja wanaweza kupata huduma ya kukata tiketi mtandao na kusafiri kwa basi wanalopenda

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Dawasa-Maji,Umma

Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASA) ni wakala wa serikali ya Tanzania wenye jukumu la kutoa maji safi na salama, pamoja na huduma ya majitaka kwa wakazi wa Dar es Salaam, Kibaha, na Bagamoyo. Inasimamia mitambo ya kutibu maji, mita...

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni
Nembo Ya Kampuni

Total Energies

TotalEnergies ni kampuni ya kimataifa ya nishati ambayo inazalisha na kuuza vyanzo mbalimbali vya nishati, ikiwa ni pamoja na: mafuta na biofueli, gesi asilia na gesi ya kijani, renewables, na umeme.

Imepata 0 Maoni star star star star star Soma Zaidi Andika maoni

Sign In