Vifurushi vya post paid bando/biashara
Inatolewa na Mtandao Tigo/YAS
Huduma ya Vifurushi vya Postpaid kutoka Yas Tanzania imeundwa mahsusi kwa ajili ya kusaidia biashara na taasisi mbalimbali kupata huduma za mawasiliano . Kupitia vifurushi hivi, wateja hupata huduma za muda wa maongezi, ujumbe mfupi (SMS), na bando za intaneti, huku wakifanya malipo baada ya kutumia huduma hizo.