Timiza

Inatolewa na Mtandao wa Airtel Tanzania
0/5.0- Imepata 0 Maoni
Hakuna maoni ya kutosha. Acha maoni yako kuwasaidia wengine!

Timiza

Inatolewa na Mtandao wa Airtel Tanzania

Timiza ni huduma ya kifedha inayotolewa na Airtel Money inayomuwezesha mtumiaji kukopa fedha na kuitumia kwa matumizi mbalimbali kama vile kulipia bidhaa, huduma, au kutuma pesa. Mtumiaji hulipa mkopo huo baadaye kulingana na masharti yaliyowekwa. Huduma hii inalenga kutoa suluhisho la haraka kwa wateja wanaohitaji fedha kwa dharura

Sign In