Azam Marine
ni kampuni ya kusafirishia abiria na mizigo kwa njia ya bahari chini yaKampuni ya Bakhresa nchini Tanzania. Inatoa huduma za kusafirisha abiria pamoja na mizingo kupitia bahari, Zanzibar na Tanzania bara
Tovuti
https://azammarine.com
Barua pepe
[email protected]
Simu
+255 222123324