Abood Bus Service
Abood Bus Service Limited ni kampuni ya usafiri wa abiria na mizigo yenye makao makuu Morogoro, Tanzania. Ilianzishwa mwaka 1986, na ni mojawapo ya makampuni makubwa zaidi ya kusafirisha watu barabarani nchini .
Tovuti
https://aboodbus.co.tz
Barua pepe
[email protected]
Simu
+255 748771551